MGENI WETU NI OMER LOBO, KAMISA WA POLISI WA KITAIFA WA KONGO HUKO BUNIA. Anazungumza juu ya umuhimu na jukumu la sayansi ya uchunguzi katika kutafuta uchunguzi katika matukio ya uhalifu au katika maeneo yaliyoathiriwa na majanga yanayosabishwa na milipuko ya vifaa kivita. Hii ilikuwa wakati wa kufungwa mnamo tarehe kumi na mbili machi mfulalizo wa vikao vya mafunzo kwa askari polisi makumi tatu huko bunia. Omer Lobo Anazungumza na Ezechiel Muzalia.
/sites/default/files/2025-04/040425-ps-invitebuniacommissaireomerlobopolices orientifique-00-web.mp3






